Tuesday, January 2, 2018

WAZIRI WA TAMISEMI SULEIMAN JAFO AZINDUA UJENZI KITUO CHA AFYA NDURUMA -ARUSHA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Selemani Jafo akizungumza na wananchi wa Kata ya Nduruma kwenye mkutano wa hadhara (hawapo pichani) baada ya kuweka jiwe la Msingi kwenye ujenzi wa Kituo cha Afya Nduruma, wilayani Arumeru mkoani Arusha.

  
1  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Selemani Jafo (kulia) akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri yaArusha Dc Wilson Mahera pamoja na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel kwa kusimamia ujenzi wa miundombinu ya Afya kwenye Kituo cha Afya Nduruma kilichopo wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
 Hili ni jengo la wodi ya Kinamama ni mojawapo ya majengo yanayoendelea kujengwa katika uboreshaji wa kituo cha Afya Nduruma.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Selemani Jafo(katikati mbele) akisimikwa kuwa Chifu wa Kimaasai maarufu kama Leigwanani wakati wa ziara yake katika kituo cha Afya Nduruma ambapo aliweka jiwe la msingi katika ujenzi wa miundombinu ya Afya.
 Viongozi wa Halmashauri hiyo wakimskiliza Waziri wa Nchi Selamani Jafo akizungumza na wananchi wa kata ya Nduruma.
    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Selemani Jafo akiwaaga  wananchi wa Nduruma baaa ya ziara yake katika Kituo cha Afya Nduruma.

No comments:

Post a Comment