Tuesday, December 19, 2017

WAZIRI SULEIMAN JAFO AHIMIZA MIKOA KUSIMAMIA LISHE ILI KUPUNGUZA UDUMAVU

 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tamisemi Selemani Jafo akizungumza na Wakuu wa Mikoa (hawapo pichani) kuhusu Mikataba ya Utendaji kazi na Usimamizi wa Shughuli za Lishe katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, Mikataba hiyo imesainiwa jana baina ya WN-OR-TAMISEMI na Wakuu wa Mikoa yote Nchini.   
 
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Selemani Jafo(katikati) alisainishana Mkataba  wa Utendaji kazi na Usimamizi wa Shughuli za Lishe na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Evarist Ndikilo(kulia) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Chiku Galawa kw niaba ya Wakuu wa Mikoa yote Tanzania.
 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Selemani Jafo(katikati) akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Evarist Ndikilo(kulia) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Chiku Galawa wakionyesha Mkataba wa Utendaji kazi na Usimamizi wa Shughuli za Lishe mara baada ya kusaini makubaliano hayo.
 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Selemani Jafo akimkabidhi Naibu   Waziri wa OR-Tamisemi Mhe. Josephat Kandege Mkataba wa Utendaji kwzi na Usimamizi wa shughuli za Lishe kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji katika Mikoa na Halmashauri zote nchini.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Selemani Jafo akimkabidhi Naibu   Waziri wa OR-Tamisemi Mhe. George Kandege Mkataba wa Utendaji kazi na Usimamizi wa shughuli za Lishe kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji katika Mikoa na Halmashauri zote Nchini.

  1.  Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Selemani Jafo (katikati mbele) akiwa katika Picha ya pamoja na Manaibu Waziri Tamisemi pamoja Wakuu wa Mikoa baada ya kusaini Mkatana wa Utendaji Kazi na Usimamizi wa shughuli za Afya.

No comments:

Post a Comment