Saturday, January 19, 2013

MAKUNDI MAALUMU MAONI YA KATIBA




JUU
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) na Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi akimkabidhi Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba maoni ya Jumuiya hiyo kuhusu Katiba Mpya jijini Dar es Salaam jana (Ijumaa, Jan 18, 2013)

CHINI:


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh (kushoto) akiongea na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika ukumbi wa mikutano wa Tume hiyo jijini Dar es Salaam leo (Jumamosi, Januari 19, 2013). Bw. Utouh alikutana na Wajumbe wa Tume hiyo kutoa maoni ya taasisi yake kuhusu Katiba Mpya.

No comments:

Post a Comment