LOWASSA AKITOA HESHIMA ZA MWISHO
Waziri
Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Edward Lowassa akitoa heshima za
mwisho kwa marehemu Baba yake Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Ole
Nangoro. Marehemu Mzee Ole Nangoro aliyefariki Januari 13, 2013 na
kuzikwa January 17, 2013 nyumbani kwake Kiteto alikuwa na umri waa
miaka 106 ameacha wajane 3, wajukuu 82 na vitukuu 20.
No comments:
Post a Comment